Rafiki-Fredrick Mulla
    使用手机浏览器「扫一扫」

    在手机上保存,获得更好体验

标签
歌词

Chorus

Habari gani rafiki, nakusalimu

Sikuhizi hazipigwi story, sio kama zamani

Rafiki, nakusalimu

Sikuhizi hazipigwi story, sio (yeah) kama zamani

Yeah!

Verse 1

Mambo madogo mnaweza kusolve na kuweka kando

Kuna vitu mnaweza kuhandle

Acheni kukuza mambo

Mnawapa faida maadui wa kando

Ni better kuwa humble

So sit down huh!

So you sick now?

Unapewa salaam unauchuna

Sasa what now? Huh! What now?!

Au si so wanao!

Keepin’ it real keepin’ it real

Tuambie what you feel ili tujue what's the deal

Tu reveal

Kama kuna kitu cha kurekebisha turebuild

Ili mambo yawe sawa

Hakuna sababu hii kushindwa kusolve

Ukikuza ujinga utakubreak you whole

Hakuna haja sisi kuvunga, “we’ good!”

Mahusiano yetu kuya-‘breaking it off’!

Chorus

Habari gani rafiki, nakusalimu

Sikuhizi hazipigwi story, sio kama zamani

Rafiki, nakusalimu

Sikuhizi hazipigwi story, sio kama zamani

Mastory mob

Mastory mob

Mastory mob

Mastory mob

Mastory

Verse 2

Aah!

Sikuhizi simu zenu ninakata

Ndio maana

Hamnikuti maskani kwenye bata

Kwa maana mmmh!

Urafiki huu ni wa mashaka

Ya nini kuwajenga kama hamnijengi?

Mtawezaje nipenda kama hamjipendi?

Let's be real

Huo ndio msingi kwanza, jenga wako

Mi niko busy nikibuild mine

Keepin’ it real keepin’ it real

Nachokifeel hakiwahusu kukireveal

Am’a keep it on myself nikifanya mambo yangu

Kwani vipi?

Kwani vipi

Kuna kila sababu hii kushindwa kusolve

Ukikuza ujinga utaku-‘break you off’!

Hakuna haja ya si kuvunga, “ we good!”

Wakati we’re not, wakati we’re not aaah!

Chorus

Habari gani rafiki, nakusalimu

Sikuhizi hazipigwi story, sio kama zamani

Rafiki, nakusalimu

Sikuhizi hazipigwi story, sio kama zamani

Mastory mob

Mastory mob

Mastory mob

Mastory mob

Mastory mob

Mastory mob

Mastory mob

Mastory mob

展开显示全部歌词