Marioo - Aslay
Just didn't you see
Baby nipe nkatumie nkatumie
Nisipo deka kwako nikadeke wapi mie
Nataka gari uninulie nataka pamba kali nipendeze na mimi wanisifie
Wanie fie
Mi kitandani fundi
Nafanya unalia kama bundi
Uo wivu wako si pendi nipe pesa mi nikale tungi
Nakufundisha mapenzi japo una umri wa shangazi
Nakudatisha kichizi mpaka mume wako unamuona makuzi
Eeeeh
Napatapata vitisho nikiwa kitaani
Mumeo anataka kuniua eti kisa nini
Kumbuka nina mwili wa mapenzi sina mwili wa ngumi
Ila akitaka ndondi aende ulingoni badae
Nibebe kwa mbeleko kama mtotooo kama mtoto
Nipe pesa nikupe ukitakacho
Unitakas
Nibebe kwa mbeleko kama mtotooo kama mtoto
Nipe pesa nikupe ukitakacho
Oiiiyeee mama anataka pesa hana aliniomba
Toka jana anataka sare aende zake kwenye ngoma
Mhhhh
Basi mpe siumependa boga penda na ua lake
Akinuna atafanya zifugwe listi zote
Napatapata vitisho nikiwa kitaani
Mumeo anataka kuniua eti kisa nini
Kumbuka nina mwili wa mapenzi sina mwili wa ngumi
Ila akitaka ndondi aende ulingoni badae
Nibebe kwa mbeleko kama mtotooo kama mtoto
Nipe pesa nikupe ukitakacho
Utitakas'
Nibebe kwa mbeleko kama mtotooo kama mtoto
Nipe pesa nikupe ukitakacho
Y bi mamrio
Y bi mamrio mario'
Nario
Y bi mamrio mario
Y tu pansaro nilam
Y bi mamrio
Y bi mamrio mario'
Y bi mamrio mario
Y ta suakeu te deko
Dubabia