Enjoy - Jux/Diamond Platnumz
Lyrics by:Juma Mussa Mkambala/Nasibu Abdul
Composed by:Salmin Kasimu Maengo/RAYMOND MAZIKU
Produced by:S2kizzy
S2kizzy baby
Hii leo
Acha tu niwaweke wazi
Niwaweke wazi
Niwaweke wazi
Mubaki na mishangao
Kuhusu haya mapenzi
Nataka kuvaeleza
Na leo
Tena wahiteni paparazi
Warushe kwa mitandao
Siyataki mapenzi
Nataka jipongeza
Unaemwita your baby
Kumbe nae ana baby
Ooh unaemwona kipenzi
Ni mshenzi hakupendi
Ama kweli mtihani
Mambo mengi duniani
Na mi stress siwezi
Ooooh siwezi
Aahh
Bora ni enjoy mmmmmh
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho
Jiunge nami upoze koo
Bora ni enjoy
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho
Ooh yanini yanini
Jiunge nami upoze koo
Mmmh khoo khoo khoo khoo
Kama kupendaaa
Bora nimpende mama yangu mmmh
Kama kupendwaa mimii
Nitajipenda peke yangu ooooh
Kilichoniponza ufalaaa
Kujiona simba kumbe swalaaa
Kazama kwenye penzi uchwalaaa
Badala ya kusaka miamalaaa
Ail yoooo oh
Toka ni date pesa enhee
Sa napendeza enhee
Na tena naenjoy enhee
Na wanangu ma homeboy enhee
Ooooh account inasoma enhee
Na kamwili kananona enhee
We mwenyewe si unaona yani enhee
Ai nasema boraaaa
Bora ni enjoy
Kwiri pi pi pi pi pi pi
Maisha mafupi ni simple
Kirii ka dakitka
Yanini niteseke roho
Yanini niteseke rohoo
Jiunge nami upoze koo
Jiunge na mimi ah
Bora ni enioy
Kwiri pi pi pi pi pi pi
Maisha mafupi ni simple
Kirii ka dakitka
Yanini niteseke roho
Aaahh iveeeeiii ve
Jiunge nami upoze koo
Jiunge na mimi ah
Napenda nikilewa
Nipande juu va meza
Minjonjo
Huku natema kingereza
Tupande juu ya meza
Tupande juu ya meza
Tupande juu ya meza
Za za za za za
Bora ni enjoy
Kwiri pi pi pi pi pi pi
Maisha mafupi ni simple
Kirii ka dakitka
Yanini niteseke roho
Ooh yanini yanini
Jiunge nami upoze koo
Ooh khoo khoo khoo khoo
Kamix lizer