MOROBUZZ Season 3 Episode 2-Fredrick Mulla

MOROBUZZ Season 3 Episode 2

时间:2022-08-31

    使用手机浏览器「扫一扫」

    在手机上保存,获得更好体验

标签
歌词

Verse 1

Ukituona we sema, “nice”

Tulipotoka was never nice

Sikuhizi thamani inapanda siku zikiganda

Si bado twa overprice

I see some changes nikijicheki

I see makenge wanavyofeki

Naona wanabana vipaji kibao

Chakarika mwanangu kudadadeki

Maisha yatasonga upende usipende

Chukua spana ukaminye kende

Beba na nati ukakaze pia

Chagua utupende au utuchukie

Nakosea sana ndomana nasali

Pia najifunza

Nisipokuelewa lazima maswali niulize

Nikishajua ili nikaumize

Chorus:

Sema na hii x7

Sena na hii a

Sema na hii e

Sema na hii i

Sema na hii o o o o

Sema na hii x7

Sena na hii a

Sema na hii e

Sema na hii i

Sema na hii o o o o

Verse 2

Siku hizi nyumbani sionekani sana

Niko abroad napambana

Ili kujenga kiwanda akili na uwezo unapanda ni ngumu kusanda

I’m all over the place if you didn’t know

Mi a bad man ka track ya D Knob

Nikiziongelea blessing kutoka kwa Baba ni nyingi

Milango iko wazi we winning

Of all the place and I choose to be here

Building this up mpaka nifikie nia

Najua kuna watu wanangoja nifeli

Kiukweli sifeli the King is here

Nakosea sana ndomana nasali

Pia najifunza

Nisipokuelewa lazima maswali niulize

Nikishajua ili nikaumize

Chorus:

Sema na hii x7

Sena na hii a

Sema na hii e

Sema na hii i

Sema na hii o o o o

Sema na hii x7

Sena na hii a

Sema na hii e

Sema na hii i

Sema na hii o o o o

展开显示全部歌词